RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE AZINDUA CHUO KIPYA CHA KIJESHI.(JWTZ)
Rais jakaya kikwete amezindua chuo cha kitaifa cha kijeshi dhima
kubwa ikiwa ni kuwapa uwezo wa kitaaluma
wanajeshi kuendenda na sayansi na teknolojia
katika jukumu lao kubwa la ulindaji wan chi na raia wake
miongoni mwa masomo watakayojifinza wanafunzi waliojiunga na
chuo hicho kipya ni pamoja na somo la
ulinzi huku lengo la kuanzishwa kwa chuo
hicho cha kimataifa ni kulinda nchi katika suala zima la ulinzi na usalama
Naye mkurugenzi mkuu katika chuo hicho bwana CHARLES Makakala baada
ya kupongeza kwa kufunguliwa rasmi kwa chuo hicho ameongeza chuo hicho knapokea
wanafunzi kutoka idara tofauti na
kuorodhesha makundi mbalimbali
waliojiunga na chuo hicho.
No comments:
Post a Comment