Rais Jakaya Kiwete, Rais wa Kenya, Mwai Kibaki (wapili kulia)
na Rais wa Burundi, Pierre Nkurunzinza wakivuta kamba kuashiria ufunguzi
wajengo jipya la makao makuu ya Jumuiya ya Afrika ya Mashariki mjini
Arusha Novemba 28,2012. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akiagana Rais wa Burundi, Pierre Nkurunzinza kwenye
uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro,baada ya sherehe za
uzinduzi wa jengo la O(fisi kuu za Jumuiya ya Afrika Mashariki mjini
Arusha Novemba 28, 2012. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
|
No comments:
Post a Comment