PINDA AHIMIZAUSHIRIKIANOBAINA YA WAEKEZAJI NA WAKULIMA
Tanzania ni moja kati ya nchi barani afrika iliyopiga hatua
katika uzalishaji wa shughuli za kilimo ikiwa na lengo la kuzuiz njaa kwa
wananchi wake lakini pia kujiongezea
kipata kwa wakulima mmoja mmoja kwa malengo ya kuboresha uchumi na kipato cha
mkulima lakini pia kuboresha uchumi wa taifa hili.
malengo ya serikali katika shughuli za kilimo ni pamoja na kukuza
pato la taifa kutokana na kubalikiwa ardhi yenye lutuba lakini pia mvua za hapa
na pale lakini malengo hayo yanaonekana kutozaaa matunda ipasvyo kutokana changamoto zinazowakabili wakulima hapa nchini
iwepo ile mbegu bora lakini dhana za kisasa za kulimia.
Kwa mujibu wa takwimu mbalimbali ziliwai kufanyika nchini
imebainika kuwa wakulima walio wengi nchini bado ni maskini kutokana na kilimo dhana za kilimo wanazotumia ikiwepo
jembe la mkono huku walio wengi wakishindwa kumudu gharama za kununua power tila .
Changamoto zingine zinazosababisha wakulima kuendelea kuwa
maskini nchini ni pamoja nakukosa elimu ya ya kilimo ya kisasa jambo ni kwako
kikubwa kwao.
Kwa kulifahamu hilo motto wa mkulima mh ambaye ni waziri mkuu
wa jamhuuri ya muungano wa tanzania mh mizengo kayanza peter panda anaweka bayana baadhi ya vikwazo
zinavyasababisha wakula nchini kushindwa kipa hatua moja hadi nyine.
Kumekuwepo na malalamiko pamoja na migogoro ardhi kwa miaka mingi kati ya wananchi na wawekezaji mbalimbali kitendo ambacho kimekuwa kikiwakera
wananchi walio wengi wenye kipato cha chini
Kilimo ni huti wa mgogo maneno haya alikuwa akiyatumia na
hayati baba wa taifa ili mwalimu Julius
kambalage nyerere enzi za uhai wake lakini kwa sasa kaulimbiu iliyotawala ni katika
kila kona ya pembe ya tanzania ni kilimo kwanza .
Asilimia 95 ya watanzania wanategemea shughuli za kilimo
katika kuendesha maisha yao lakini pia kukuza uchumi wa nchini ni vyema
serikali ikatoa elimu kwa wakulima nchini ili kuweza kuongeza kasi ya uzalishaji
wa katika shughuli za kilimo.
No comments:
Post a Comment