Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete (katikati), Jaji Kiongozi Fakhi Jundu
(kushoto), Waziri wa Mambo ya nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard
Membe (wa tatu kulia) na mkuu wa mkoa wa Lindi Ludovick Mwananzila
wakikata utepe kuashiria ufunguzi wa jengo la Mahakama ya Mwanzo
lilijengwa kwa nguvu za wananchi na wafadhili katika kata ya Rondo,
jimbo la Mtama, Lindi vijijini jana.
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na Jaji Kiongozi Fakhi Jundu wakikagua
jengo jipya la mahakama ya Mwanzo lililojengwa kwa nguvu ya wananchi na
wafadhili mbalimbali katika kata ya Rondo, jimbo la Mtama, Lindi
vijijini jana.
(Picha na Ikulu)
No comments:
Post a Comment