RAIS MPYA WA SOMALIA ANUSURIKA KIFO
Rais
mpya wa Somalia Hassan Sheikh Mohamud , amenusurika jaribio la kumuua mjini
Mogadishu.
Taarifa zinasema kuwa waziri wa mambo ya nje wa Kenya Sam Ongeri pia alikuwa katika hoteli hiyo wakati wa shambulizi.
Hata hivyo wawili hao wamenusurika. Inaarifiwa mtu mmoja ameuawa.
No comments:
Post a Comment