Monday, October 28, 2013

RAIS KIKWETE AWA MGENI RASMI KATIKA JUBILEI YA MIAKA 100 YA PAROKIA YA LUGOBA


Rais Jakaya Mrisho Kikwete leo Jumapili, Oktoba 27, 2013 akiwa na Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki  wa Jimbo la Morogoro Onesphory  Mkude, Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Tanga Anthony Banzi, Viongozi wa mkoa wa Pwani, Kamati ya Walei ya Parokia ya Lugoba wilaya ya Bagamoyo Mkoa wa Pwani, Waumini na Wananchi, amehudhuria kwenye sherehe za Jubilei ya kuadhimisha Miaka 100 ya Parokia hiyo.
 Zifuatazo ni baadhi ya picha kutoka kutoka Ikulu kuhusu tukio hilo.



No comments:

Post a Comment

AddThis

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...