Waziri mkuu Mizengo Pinda akitazama asali wakati alipotembelea banda la ha;lmashauri ya wilaya ya Mbulu kabla ya kufungua kongamano la kwanza la uwekezaji katika mkoa wa Manyara Mjini Babati .Kushoto ni waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu,uwekezaji na uwezeshaji Dr Mary Nagu kulia ni mkuu wa mkoa huo,Erasto Mbwilo |
No comments:
Post a Comment