Rais, Robert Gabriel Mugabe, jana kwa mara ya saba katika historia ya
nchi hiyo, alikula kiapo cha kuongoza Zimbabwe kwa nusu muongo ujao.
Shughuli za kuapishwa zilifanyika kwenye Uwanja wa Taifa wa Michezo wa Harare, Agosti 22, 2013 na kuhudhuriwa na wawakilishi wa mataifa mbalimbali kutoka barani Afrika.
Zifuatazo ni baadhi tu ya picha kutoka IKULU ya Tanzania, za kumbukumbu ya tukio hilo.
Shughuli za kuapishwa zilifanyika kwenye Uwanja wa Taifa wa Michezo wa Harare, Agosti 22, 2013 na kuhudhuriwa na wawakilishi wa mataifa mbalimbali kutoka barani Afrika.
Zifuatazo ni baadhi tu ya picha kutoka IKULU ya Tanzania, za kumbukumbu ya tukio hilo.
Rais wa Tanzania, Jakaya Kikwete akimpongeza Rais wa Zimbabwe Robert Gabriel Mugabe katika sherehe hizo za kuapishwa |
Rais Robert Mugabe akililakiapo kwa rara ya saba mfululizo kama rais wa Zimbabwe. |
Video ya Rais Kikwete alivyopokelewa na watanzania wanaoishi
nchini Zimbabwe.
No comments:
Post a Comment