Wednesday, August 28, 2013

IDADI KUBWA YA WANAFUNZI WALIOKOSEA KUJAZA FOMU ZA MIKOPO YA ELIMU YA JUU WAENDELEA KUFANYA MAREKEBISHO

http://2.bp.blogspot.com/-1U6fq_1vH_U/Uh2h3jRX9YI/AAAAAAAErgw/AxZfk5x7aWI/s1600/New+Picture+(7).png
http://2.bp.blogspot.com/-dKtC9xJUNDk/Uh2hx5wwJTI/AAAAAAAErgY/9jGKF5nb3y0/s1600/New+Picture+(6).png
http://4.bp.blogspot.com/-6LqvjQKu0HY/Uh2h0V4oG2I/AAAAAAAErgo/EsFZd0KncHY/s1600/New+Picture+(4).png
Idadi kubwa ya wanafunzi waliokuwa wamekosea kujazafomu zao za maombi ya mikopo ya eilimu ya juu ,wameendelea kujitokeza katika makao  makuu ya bodi  ya mikopo nchini  kwa ajili ya kuendelea kufanya  marekebisho
Bodi ya mikopo ilitoa muda wa siku kumi na nne ambazo zinamalizika tarehe 30 ya mwezi augost mwaka huu kwa wanafunzi wote  ambao fomu zao za mikopo zilionekana kuwa na kasoro  kwa kutosainiwa au kukosa vitambulisho muhimu ikiwa ni pamoja na za vyeti vya kuzaliwa na taaluma

Majina ya watu zaidi ya 6,000 yameonekana kuwa na kasoro na yamewekwa kwenye  tovuti ya  bodi ya mikopo nchini.

No comments:

Post a Comment

AddThis

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...