Thursday, October 25, 2012

           UAMSHO ZANZIBAR WARUDISHWA TENA  RUMANDE

Hatua hiyo  imekuja punde tu baada ya mawakili wa viongozi wa kundi hilo kutangaza nia ya kujitoa kwao katika kesi hiyo  kwa kile walichokiita kuwa ni usumbufu wanaofaofanyiwa wateja wao ikiwa nipamoja na kupelekwa mahakama ya kwerekwe bila ya muda muafaka.










SHEIKH FARID HAD AHMED  AKIWA NA VIONGOZI WENZAKE WA KUNDI HILO,WOTE WAKITUHUMIWA KWA MAKOSA YA KUHARIBU MALI YENYE THAMANI YA MILIONI 50 PAMOJA NA




No comments:

Post a Comment

AddThis

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...