Monday, October 1, 2012



 TANZANIA YAELEZEA HATUA ZAKE KATIKA KUYAFIKA MALENGO YA MILENIA (MDG)
Sereikali ya tazania imeeleza kupata mafanikio makubwa katika kuyafikia malengo ya millennia (MDG) hasa katika elimu ya msingi
Hayo yameelezwa na waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa mh. Bernard Membe (mb) wakati  akitoa taarifa yake katika kikao cha 67 cha baraza kuu la umojsa wa mataifa  mjini New York Marekani.

Katika  mkutano huo Mh. Membe amesema nchi ya Tanzania imepiga hatua  kubwa hasa katika suala la usawa wa jinsia ,uwezeshaji wa wanawake  katika Nyanja tofauti  lakini pia kupambana na dhidi ya marazi ya HIV /UKIMWI  ,Malaria na maradhi mengine.

No comments:

Post a Comment

AddThis

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...