Tuesday, October 30, 2012



MWANAFUNZI WA DARASA LA TATU  AJINYONGA MKOANI MBEYA.
http://4.bp.blogspot.com/-NnQCcgGRksw/UI8xBfmgHTI/AAAAAAAACNw/zUOkRyuS0bA/s1600/IMG_3923.JPG
MWILI WA KELVINI PATRICK UKIWA UMEFUNIKWA MARA BAADA YA KUKUTWA KUJINYONGA
Ni siku chache tu zimepita tangu nitoe habari inayohusiana na hii ile ikimuhusu kijana wa chuo kikuu cha Dar es salaam aliyeamua kukatisha  uhai wake kutokana na  kugundulika  kuwa  anaishi na virusi vya ukimwi ,pasipo kufikiri angeliweza  kuendesha maisha yake akiwa katika hali hiyo.

Safari hii kijana mdogo  wa darasa la tatu katika  shule ya msingi Iwambi jijini  Mbeya  jinsia mwanaume  kwa ,jina la Kelvin  Patrick (8) amejinyonga kwa  kutumia kamba  ya kiatu akiwa nyumbani kwake.

http://2.bp.blogspot.com/-8VcVrNzriXg/UI8xmnErnmI/AAAAAAAACOA/wu9UVnFYFpA/s1600/IMG_3927.JPG
BAADHI YA MAJIRANI WAKIMSHIKILIA MAMA MZAZI WA MAREHEMU  KELVIN PATRICK
 Hata hivyo chanzo cha kujingonga kwake bado hakijaweza  kufahamika kwa mara moja 
http://1.bp.blogspot.com/-u2qgIUpX734/UI80FO6soAI/AAAAAAAACO4/B6Ldh-AOZR0/s1600/IMG_3920.JPG
BAADHI YA MAJIRARANI WALIOJITOKEZA KUTAZAMA  TUKIO HILO 

.picture source-the hood info tainment

No comments:

Post a Comment

AddThis

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...