MWILI WA KARDINALI WA KWANZA BARANI AFRIKA KUZIKWA UPYA
KAGEERA
Kanisa katoliki jimbo la bukoba wanajiandaa wanajiandaa kuzika
upya masalia ya mwili wa aliyekuwa
askofu na cardinal wa kwanza barani Afrika Laurean Rugambwa aliyefariki mwaka 1967 katika
jimbo la Bukoba
Maziko ya kardinali huyo yamepangwa kufanyika mwezi octoba 6
mwaka huu kufuatia kanisa aliloagizwa kuzikwa kiongozi huyo kuwa ksatika
matengenezo.
Kwa mujibu wa aksofu mkuu msaidizi jimbo la bukoba Methodius
Kilaini amese,a wanataka kumzika cardinal huyo
kwa heshima kutokana na kuaminika kwake
Kabla ya kuzikwa kutakuwa na ibada mbalimbali ikiwa sehemu alikozaliwa na kubatizwa ambapo sherehe zitaambatana na
kusheherekea miaka 100 ya kuzaliwa kwa karidinali Rugambwa tarehe 7 ya mwezi octoba
mwadhama Kardinal Laurean Rugambwa |
No comments:
Post a Comment