Friday, September 21, 2012

WAISLAM TANZANIA WAANDAMANA KUIPINGA FILAMU   INAYOMKASHFU MUTME WAO  ILIYOTENGENEZWA NCHINI  MAREKANI


Jumuia na taasisi za kiislam Tanzania wameendamana siku ya ijumaa na  kutoa tamko la waislam nchini dhidi ya Marekani kuruhusu kutolewa filam inayoukashifu mtume muhamad
Jumuiya  ya waislam kwa pamoja nchini Tanzania wakipinga filamu ya {Innocence of muslims} inayomkashifu mtume muhamad,maandamano kama haya yanaendelea pia katika mataifa mbalimbali ulimwenguni 

maaandamano haya yamefanyika siku ya ijumaaa mara baada ya kumalizika kwa swala ya ijumaa.

 

 

No comments:

Post a Comment

AddThis

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...