Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo
(CHADEMA), Dk. Wilbrod Slaa akihutubia mamia ya wanachama na wananchi wa Gairo,
mkoani Dodoma.
Dk.
Slaa akihutubia Mpwapwa mkoani Dodoma wakati akiendesha Mabaraza Huru ya Rasimu
ya Katiba Mpya.
Wananchi wakimsilikiza Dk. Slaa wakati akiendesha Mabaraza Huru ya Rasimu
ya Katiba Mpya, Gairo mkoani Dodoma.
(Picha na Kurugenzi ya Mawasiliano Chadema)
|
No comments:
Post a Comment