Mvua kubwa iliyonyesha usiku wa leo katika mji wa Iringa imeshusha neema kwa wakazi wa mji wa Iringa ambao ni wapenzi wa Senene.
Uchunguzi uliofanywa katika shule mbali mbali za Manispaa ya Iringa asubuhi ya leo umebaini kuwa idadi kubwa ya wanafunzi na walimu wakia katika mashamba ya shule zao na nje ya vyumba vya madarasa pamoja na wanafunzi wao wakifukuza senene.
Hahahahaha haya mambo ya Iringa hayo siju wangedondoka kwa
wenzetu Bukoba ingekuaje? Tuandikie maoni yako kupitia ukurasa wetu wa
facebook.com/yanayotokeduniani.
|
No comments:
Post a Comment