MAZISHI YA
SHARO MILIONEA ,KING MAJUTO AZIDIWA
Jeneza lenye mwili wa Sharo Milionea likitolewa |
Shekh akiombea mwili wa jeneza leye mwili wa Sharo Milionea |
Mwili wa Marehemu Sharo Milionea ukiswaliwa mapema mchana huu kabla ya kupelekwa kwenye nyumba yake ya milele |
wili wa Sharo Milionea ulipohifadhiwa |
Rafiki mkubwa wa marehemu Sharo Milionea,Mzee Majuto akiwa ameshikwa mkono wakielekea kwenye mazishi mapema mchana huu,Muheza mkoani Tanga |
Mamia ya
wakazi wa mkoa wa Tanga pamoja na wasanii wa kundi la
Bongo Movie leo wameshiriki kikamilifu katika mazishi ya
msanii Sharo Milione yaliyofanyika wilayani Muheza mkoani Tanga
umbali wa takribani kilometa 2 kutoka nyumbani kwa msanii huyo
huku vurugu za hapa na pale zikitokea wakati wa kuanga
mwili huo
Imedaiwa
kuwa umati mkubwa wa wananchi
wamepata kujitokeza kwa wingi kuaga mwili wa msanii
huyo huku baadhi wakigombea kuaga mwili huo .
WASANII WAMLILIA SHARO MILIONEA KWA WIMBO – KAZA MOYO
Video ya kumuenzi
marehemu HUSSEIN a.k.a Sharo Milionea huu wimbo umeimbwa na Shetta, Dayna
Nyange, shilole mohamed, Cannal Top, Rich Mavoko, Shadoo, Amazon, Barnabas
Elias, Stamina, Dan rock, Suma Mnazaleti, Eric Mlindima, Muba c, Seif
BONGO ALL STARS
together we canAudio producer ni C9Kanjenje
Video directed by Msafiri
under KWETU studio
R.I.P Sharo
Milionea tutakukumbuka daima milele
No comments:
Post a Comment