HATIMAYE MAHAKAMA KUU KANDA YA ARUSHA YAMVUA UBUNGE MBUNGE WA ARUSHA MJINI GODBLESS LEMA
Godbless Lema avuliwa ubunge
Mahakama Kuu Kanda ya Arusha leo imemvua ubunge aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Arusha Mjini, Godbless Lema.
Muda mfupi baada ya uamuzi huo, Lema amedai kuwa, uamuzi huo ulipangwa.
Kwa mujibu wa Lema, Jaji ametoa uamuzi huo kwa amri ya Serikali.
Lema amesema, atazungumza na viongozi wa Chadema ili wajue nini cha kufanya na kuwaeleza wananchi wafanye nini.
Amedai kuwa, kwa kuwa Mahakama imekandamiza haki, na wananchi wataipata haki hiyo kwa nguvu ya umma
Mfanyabiashara Maarufu Nchini,Mustafa Sabodo Awachangia CHADEMA Shilingi Millioni 100 Baada ya Kufurahishwa na Ushindi Wa CHADEMA Jimbo La Arumeru Mashariki.................................itaendelea
No comments:
Post a Comment