Saturday, November 10, 2012

DAR ES SALAAM.


KITENDAWILI CHA NANI ATAKAYEKUWA MSHINDI WA EPIQ BSS  2012 CHA TEGULIWA

Matarajio ya watanzania wengi walijua Wababa atashinda katika Bongo epiq,baada ya kushangili sana na watanzania kwa kipindi kirefu,lakini mambo yalikuja kubadilika baada ya Wolte kung'ara dakika za mwisho na kujizolea mashabiki wengi na hatimaye kuchukua ushindi,huku nafasi ya pili ikichukuliwa na Salma na tatu kuchukuliwa na Wababa,safari ya Walter katika mashindano haya imekua ya kushangaza kidogo kwa sababu ameonyesha uwezo wa hali ya juu dakika za mwisho na kukamata milion 50, Hongera sana brother.

 Wolter akiwapungia mkono mashabiki wake kuonyesha ishara ya kuwashukuru

 

 

No comments:

Post a Comment

AddThis

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...