ARUSHA :VUGUGU BAADA YA MACHINGA KUJIGAWIA MAENEO YA KUFANYIA BIASHARA ZAO.
Vurugu kubwa zimetokea mapema leo katika jiji jiji Arusha baada ya wafanyabishara
wadogo maarufu kama machinga kuvamia viwanja vya NMC na kuanza kujigawia viwanja hivyo.
Awali kabla ya kuvamia
viwanja hivyo ,mamlaka katika jiji la Arusha iliwahamisha kutoka mitaani na inayonguka
eneo la soko kuu na kuwapeleka viwanja vya NMC
Wengi wa wafanyabishara hao wanalalamikia
mamlaka ya jiji la arusha kwa kuwahamishia sehemu zisisokuwa na huduma
muhimu za kibinaadamu kama vile vyoo, maji
sehemu za kuhifandhia biashara zao mvua ikinyesha linageka kuwa bwawa.
Jitihada zinafanyika kutatua mgogoro huu haraka iwezekanavyo.
Mheshimiwa Rais Jakaya Kikwete, Katibu mkuu mstaafu wa Umoja wa Mataifa Koffi
Annan na na viongozi wengine wengine wapo jijini Arusha katika mkutano wa kimataifa wa
mapinduzi ya Kijani.
Chanzo cha vurugu hizo pia kinaelezewa kuwa ni ugawaji
mbovu wa viwanja vya biashara ambao uliwawezesha wafanyabiashara wachache
kupata huku kundi kubwa likikosa, jambo lililolalamikiwa na wahusika kutakiwa
kwenda kuonana na uongozi wa jiji kwa ajili ya kupata ufumbuzi.
No comments:
Post a Comment