Thursday, November 15, 2012

DODOMA


Sekretarieti Mpya Ya Ccm

Abdulrahman Kinana-Katibu Mkuu

Mwigulu Nchemba-Naibu Katibu Mkuu, Bara

Vuai Ali Vuai-Naibu Katibu Mkuu-Zanzibar

 

Nape Nnauye-Katibu Mwenezi 

Asha-Rose Migiro-Siasa na Uhusiano wa Kimataifa

 Zakia Meghji-Uchumi na Fedha

Sekretarieti hii  mpya ya CCM imetangazwa mjini Dodoma, na Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete baada ya uteuzi wake kuidhinishwa na Kikao Cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) kilichokutana kwa mara ya kwanza mjini Dodoma. tangu uchaguzi mkuu wa CCM ufanyike.

 

No comments:

Post a Comment

AddThis

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...