Friday, October 26, 2012


    WAISLAMU DUNIANI WASHEREHEKEA EID EL-HAJ 

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Ali Mohamed Shein,pamoja na Viongozi wengine wakijumuika na waislamu na wananchi katika  swala ya EID el Hajj katika Msikiti wa Mwembeshauri Mjini Zanzibar Leo

 WAISLAMU KOTE DUNIANI  WANAADHIMISHA SIKU KUU YA EID EL-HAJI LEO.

 SHEREHE HIZI ZINAFUATIA KUMALIZIKA KWA IBADA YA HIJA BAADA YA KUMALIZIKA  ZOEZI HILO NCHJINI SAUDI ARABIA MAKAO MAKUU YA DINI YA KIISLAMU. 

HIJA NI NGUZO YA MWISHO KATI YA  NGUZO TANO ZA KIISLAMU NA KILA MUISLAMU MWENYE UWEZO ANATAKIWA KUHIJI ALAU MARA MOJA KATIKA MAISHA YAKE.

 KILA LA KHER, NGUGU ZANGU WAISLAMU TUSHEHEREKEA SIKU HII KWA AMANI NA UTULIVU

No comments:

Post a Comment

AddThis

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...